Hakili in jambo la muhimu katika maisha maisha ya binadamu maana ndicho kitu ambacho hubeba  maudhui na mandhari ya MTU  na kumpa uwezo  wa kutambua na kugundua kitu gani kitakuwa saw a endapo hakikifanya au kitaleta picha  IPI mbele ya watu.
 Maranyingi watu hutumia hakili zao katika kuhakikisha wanaijenga jamii kimaadili na kuielimisha pia ila jambo in moja ambalo linaikumba jamii  ya kwamba   inategemea na jamii hiyo watu hakili zao ziko wapi na zinawaza mini. In vyema kutambua na kugundua  umuhimu wa hakili zako na nikwajinsi gani hunatumia hakili.  Hizo kujiendeleza kifikira na kiuchumi pia.
 Jambo ili la hakili ni mali limetokana na uwezo binafsi wa mwanadamu kuhakikisha anapambanua mambo mbalimbali  ya msingi na kugundua ili kuijenga jamii yake na yeye binafsi.
Ni wazi kuwa watu wengi ufikiria kwamba mtu mwenye hakili  ni yule alie enda shule na kufahuru vizuri  lakini jambo hili alina ukweli ndani yake maana ni wazi kuwa  hakili inategemea ni kwa jinsi gani mtu anatumia hakili zake  kuwasilisha mawazo yake.  Hapa tunaona wazi jinsi gani tunapaswa kushughulisha akili zetu  kila wakati na kila mda kuhakikisha tunaweka ubongo wetu vizuri katika kuibua na kugundua mambo  mengi katika dunia yetu .
 Wanasayansi wengi wameweza kutumia huwezo wa akili zao katika kuibua  na kugundua mambo mengi ya tekonolojia na pia wanashelia na wengineo pia wametumia akili zao kuhakikisha wanatatua migogoro inayo ibuka katika jamii ili kuijenga jamii ilio bora.
  Kwasababu mungu alitupa akili  ni wajibu wetu kuzitumia kifasaha kuhakikisha tunaishi kwenye  dunia ambayo inampendeza yeye alie tupatia akili hizo na si vinginevyo.  HAKIKA TUKITUMIA AKILI ZETU VIZURI  TUTASHINDA UMASIKINI.